KISWAHILI FOR BEGINNERS: Letter ‘B’

Baada ya means after,sample translated sentence of after is Baada ya siku tatu Yesu alifufuka After three days Jesus is resurrected.

Baadaye means after words,later on,there after.Sample translated sentence,nitakuja baadae,nitakupikia baadaye,Baadaye nikiamka nitakuja nyumbani.

Baba means father,baba mkwe(father in law)fathers’ brother(baba mkubwa)ami,our father(Baba yetu)father’s sister shangazi,father(s)basi,birth father baba mzazi.Sample translated sentence,baba anaenda shuleni.

You are a child of God the Eternal Father and may become like him 6 if you will have faith in his son,repent,receive,ordinances,receive the Holy Ghost and endance to the end 7.(Wewe ni mtoto wa mungu Baba wa milele,na unaweza kuwa kama yeye kama atakuwa na Imani katika mwanawe,kuhusu,kupokea maagizo,kupokea roho mtakatifu na kuvumilia hadi mwisho.

Babu means grandfather,baba mkubwa great great grandfather(baba mkubwa)eg.Babu anaenda sokoni,Babu ananedi nyumbani leo kutoka Arusha.

Bado means not yet,still,bado kidogo,a little while,yet,bado mtoto(he/she)still a child,shughuli bado haijaanza.

Bahari,means ocean,sea,Baharini in at the ocean,e.g twende tukaogele Baharini,or twende tukaione bahari.

Bahati means luck,chance,accident,(bahati mbaya)or bad luck.eg nimepata bahati leo,nimepewa lift.

Baki,ku- means remainder,rest,to remain,sample translated sentence,wanafunzi wote wanatakiwa wabaki shule leo.Dada amebaki nyumbani anapika.

We will continue next period.

Related Articles

Back to top button